728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, June 28, 2015

    LA STAMPA:ARTURO VIDALI NI MALI YA ARSENAL

    Santiago,Chile.

    Kile kitendawili cha wapi kiungo wa klabu ya Juventus Arturo Vidal atakuwa msimu ujao huenda kikapata jibu mara baada ya michuano ya Copa America kufikia tamati yake wiki ijayo.

    Gazeti la maa
    rufu la michezo la Chile,La Stampa ambalo ndilo lilikuwa la kwanza kuripoti kuwa winga Alex Sanchez amesaini Arsenal  mapema jana rimeripoti kuwa klabu ya Juventus ilishakubali kitita cha £21m toka klabu ya Arsenal kwa ajili ya kiungo huyo kipenzi cha mashabiki wa jiji la Torino.

    La Stampa limeendelea kuripoti kuwa hatima ya Vidal ilishafikiwa mara baada ya Juventus kumsajili kiungo Sami Khedira toka Real Madrid kwa uhamisho huru.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LA STAMPA:ARTURO VIDALI NI MALI YA ARSENAL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top