728x90 AdSpace

Saturday, June 20, 2015

TFF YAONGEZA IDADI YA MAPRO LIGI KUU


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeongeza idadi ya wachezaji wa kigeni katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania kutoka watano hadi sa
ba kuanzia msimu ujao.

Hayo yaamepitishwa katika kikao cha Kamati ya Utendaji ya TFF kilichofanyika kuanzia Saa 3:00 asubuhi hadi Saa 11:30, ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo, eneo la Kikwajuni, Zanziba.

Habari kutoka ndani ya kikao hicho  kilichoongozwa na Rais wa TFF, Jamal Malinzi zimesema kwamba pamoja na hayo,kila klabu italazimika kumlipia kila mchezaji ada ya dola za Kimarekani 2,000 (Sh. Milioni4) kwa msimu.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: TFF YAONGEZA IDADI YA MAPRO LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Unknown