728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, June 24, 2015

    HAPANA!!AZAM YAIPINGA TFF KUHUSU WACHEZAJI WA KIGENI

                                    Tokeo la picha la azam fc
    Uongozi wa timu ya Azam FC umepinga kitendo cha kamati ya utendaji ya TFF kutoza kiasi cha dola 2,000 za kimarekani
    kama ada ya maendeleo ya soka la vijana kwa kila mchezaji wa kigeni atakayesajiliwa.

    Mtendaji mkuu wa Azam FC Saad Kawemba amesema, ada hiyo kwa wachezaji wa kigeni ambao watasajiliwa kucheza kwenye ligi kuu Tanzania bara ni sawa na kuvikomoa vilabu kwasababu vyenyewe ndio vilitaka ongezeko la wachezaji kutoka watano. “Kwanza kabisa tunamasikitiko kwasababu jambo kama hili ambalo linatuhusu moja kwa moja hatukuitwa, hatuzungumzi halafu linakuwa ni tamko, moja...
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HAPANA!!AZAM YAIPINGA TFF KUHUSU WACHEZAJI WA KIGENI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top