728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, June 12, 2015

    TUZO:MSUVA MCHEZAJI BORA VPL,KADO KIPA BORA ZAIDI 2014/15

     
     
    Baba yake mshambuliaji wa Yanga, Happygod Msuva, mkewe Suzan James na binti yao Mary ambaye ni dada wa Msuva wakipokea zawadi ya mchezaji bora wa Tanzania Bara aliyoshinda Msuva.
     
    Wazazi na dada yake Msuva walikabidhiwa tuzo hiyo na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia ambaye aliwahi kuwa Katibu Mwenezi wa Simba.
    Msuva ameshinda tuzo hiyo kwa kuwapiku Mrisho Ngassa na beki wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’.
     
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: TUZO:MSUVA MCHEZAJI BORA VPL,KADO KIPA BORA ZAIDI 2014/15 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top