728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, August 14, 2015

    AMA KWELI KILA MJANJA NA MJANJA WAKE:NEYMAR AWATAJA WALINZI WANAOMPA HOMA ZAIDI UWANJANI


    Ama kweli kila mjanja ana mjanja wake na kila bosi ana bosi wake.Nyota wa FC Barcelona Mbrazil Neymar Jr amewataja mlinzi Javier Mascherano, Gerrard Pique, Thiago Silva na Sergio Ramos kuwa  ndiyo walinzi anaompa tabu sana kuwapita pindi akutanapo nao uwanjani.
     Neymar reveals the toughest defenders and best goal of his career
    Akifanya mahojiano hivi karibuni na FIFA TV  Neymar amesema  "Nimekutana na walinzi wengi mahari lakini Mascherano, Pique, Thiago Silva, na Sergio Ramos ni wagumu zaidi kupitika.
    Who are the toughest defenders Neymar has faced?
    Pia Neymar ameongeza kuwa angetamani kucheza na nyota kama Zinedine Zidane,Romario na  RonaldoNazário na kuongeza kuwa shujaa wake wa kwanza katika soka ni Robinho na marafiki wake wakubwa ni Ganso na Dani Alves.
    Romário, Zinedine Zidane and Ronaldo Nazário, that his first footballing hero was Robinho and that Ganso and Dani Alves are his best friends in the game.
    Romário, Zinedine Zidane and Ronaldo Nazário, that his first footballing hero was Robinho and that Ganso and Dani Alves are his best friends in the game.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: AMA KWELI KILA MJANJA NA MJANJA WAKE:NEYMAR AWATAJA WALINZI WANAOMPA HOMA ZAIDI UWANJANI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top