728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, August 03, 2016

    KUELEKEA SIMBA DAY:SIMBA SC SASA KUCHEZA NA WAKENYA BAADA YA WAANGOLA KUBANWA NA RATIBA

    Dar es Salaam,Tanzania.

    Simba SC sasa itacheza na AFC Leopards kutoka Kenya katika tamasha lake la Simba Day badala ya klabu ya Interclube ya Angola kama ilivyokuwa imetaarifiwa hapo kabla.

    Mabadiliko hayo yamekuja kufuatia mabadiliko ya ratiba huko nchini Angola yaliyopelekea klabu ya Interclube kutokuwa na nafasi ya kucheza mchezo huo ambao pia ni maalumu kwa ajili ya kuadhimisha miaka 80 ya uhai wa klabu ya Simba SC iliyoasisiwa mwaka 1936.

    Tamasha hilo litafanyika tarehe 08/08 katika Uwanja wa taifa,Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KUELEKEA SIMBA DAY:SIMBA SC SASA KUCHEZA NA WAKENYA BAADA YA WAANGOLA KUBANWA NA RATIBA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top