728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, August 02, 2016

    HAINAKA KUSUBIRI:MO AIPA SIMBA SC MILIONI 100 ZA USAJILI MCHANA WA LEO

    Dar es Salaam,Tanzania.

    Mohamed Dewji 'MO' (Pichani) ameonyesha kweli ana nia ya kuifanyia makubwa klabu ya Simba SC hii ni baada ya Mchana wa leo kumkabidhi Rais wa klabu hiyo,Evans Aveva,hundi ya Shilingi Milioni 100 za Kitanzania ili kuongeza nguvu katika zoezi la usajili wa wachezaji linaloendelea.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HAINAKA KUSUBIRI:MO AIPA SIMBA SC MILIONI 100 ZA USAJILI MCHANA WA LEO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top