728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, September 05, 2015

    KUELEKEA EURO 2016:UJERUMANI YALIPA KISASI KWA POLAND,LEO NI ZAMU YA ENGLAND,HISPANIA

    Timu ya taifa ya Ujerumani imeibuka na ushindi wa bao 3-1 dhidi ya wapinzani wao wakubwa Poland katika mchezo mkali wa kundi D wa kuwania tiketi ya kucheza fainali zijazo za michuano ya Ulaya hapo mwakani.

    Ujerumani ilipata goli lake la kwanza lilifungwa na Thomas Müller dakika ya 12’ kisha Götze akaongeza mawili dakika za 19’, 82’ kabla ya Robert Lewardowisk kuifungia Poland goli la kufutia machozi dakika ya 36’.

    Kufuatia ushindi huo Ujerumani imefanikiwa kulipa kisasi baada ya kufungwa na Poland goli 2-0 katika mchezo uliopigwa mwaka jana huko Warsaw.

    Matokeo Mengine 

    Georgia 1-0 Scotland 
    Gibraltar 0-4 Rep Ireland
    Faroe Isl 1-3 N Ireland 
    Greece 0-1 Finland 
    Denmark 0-0 Albania 
    Hungary 0-0 Romania 
    Serbia 2-0 Armenia 

    Mechi za Jumamosi Septemba 5

    Ukraine vs Belarus
    Luxembourg vs Macedonia
    Estonia vs Lithuania
    San Marino vs England
    Russia vs Sweden
    Spain vs Slovakia
    Switzerland vs Slovenia
    Austria vs Moldova
    Montenegro vs Liechtenstein




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KUELEKEA EURO 2016:UJERUMANI YALIPA KISASI KWA POLAND,LEO NI ZAMU YA ENGLAND,HISPANIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top