728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, August 13, 2015

    KIUNGO MZIMBABWE ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA SC

    Majabvi akisaini mkataba,pembeni Manara
    Rasmi klabu ya Simba Sc imeamua kumsajili kiungo toka Zimbambe Justice Majabvi kwa mkataba wa miaka miwili.Simba SC imefikia uwamuzi huo baada ya kuridhishwa na kiwango cha Majabvi,31 anayemudu vyema nafasi ya kiungo cha kukaba na kuamua kumpa mkataba.
    Tokeo la picha la justice majabvi
    Majabvi akiwa kazini Vietnam
                                                         
    Majabvi ametokea kwenye klabu ya Vicem Hai Phong FC ya Vietnam ambapo alijiunga na timu hiyo Januari mwaka 2013 akitokea Dynamos FC ya Zimbabwe.
    Tokeo la picha la justice majabvi
    Majabvi akitolewa dimbani baada ya kuumia
                                                         
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KIUNGO MZIMBABWE ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top