Klabu ya Juventus imetwaa ubingwa wa Super Cup baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya klabu ya Lazio katika mchezo mkali uliopigwa jioni ya leo huko Shanghai China.
Juventus ilipata magoli yake kupitia kwa washambuliaji wake wapya Mario
Mandzukic na Paulo Dybala.Huu ni ubingwa wa tatu kwa Juventus katika kipindi cha miaka minne.
Juventus ilipata magoli yake kupitia kwa washambuliaji wake wapya Mario
Mandzukic na Paulo Dybala.Huu ni ubingwa wa tatu kwa Juventus katika kipindi cha miaka minne.
0 comments:
Post a Comment