728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, August 03, 2015

    HII HAPA ORODHA YA WACHEZAJI WALIOTWAA TUZO BINAFSI ZA MICHUANO YA KAGAME







    Azam bingwa 9

     Baada ya Azam FC kutwaa kombe la Kagame na kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa kombe hilo kwa mara ya kwanza tangu Azam ilipoanzishwa mwaka 2007. Kombe hilo la Kagame linakuwa ni kombe la tatu
    kwa Azam mbali ya yale ya ubingwa wa ligi waliyoshinda mwaka 2013 na 2014.
     
    Mbali na Azam kushinda kombe hilo kuna wachezaji walioshinda tuzo zao binafsi baada ya kufanya vizuri kwenye mashindano hayo, wafuatao ni wachezaji walioshinda tuzo hizo.

    MVP (Most Valuable Player)- Pascal Serge Wawa (Azam)
    Golikipa bora-Boniface Oluoch (Gor Mahia)
    Beki bora-Pascal Serge Wawa (Azam)
    Mfungaji bora- Michael Olunga (Gor Mahia) amefunga magoli matano (5)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HII HAPA ORODHA YA WACHEZAJI WALIOTWAA TUZO BINAFSI ZA MICHUANO YA KAGAME Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top