728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, August 15, 2016

    RASMI YANNICK BOLASIE AJIUNGA NA EVERTON


    Liverpool, England.

    KLABU ya Everton imefanikiwa kumsajili winga wa kimataifa wa Congo DRC,Yannick Bolasie,kutoka klabu ya Crystal Palace kwa ada ya £25m.

    Bolasie,27,amejiunga na Everton mkataba wa miaka mitano utakaodumu mpaka mwaka 2021 hii ni baada ya kufaulu zoezi la upimaji wa afya yake lililoanza Jana Jumapili.




    Kabla ya kujiunga na Crystal Palace misimu mitatu iliyopita,Bolasie,alikuwa akiichezea klabu ya Bristal City 

    Bolasie anakuwa mchezaji wa nne kujiunga na Everton katika kipindi hiki cha usajili baada ya Maarten Stekelenburg , Idrissa Gueye na Ashley Williams.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: RASMI YANNICK BOLASIE AJIUNGA NA EVERTON Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top