728x90 AdSpace

Tuesday, August 11, 2015

USAJILI:ARSENAL YAZIDI KUPUNGUZA NYOTA WAKE KIKOSINI,DOUMBIA AKIMBIA BENCHI AS ROMA

Mlinda mlango wa Arsenal Emiliano Martinez amejiunga kwa mkopo wa msimu mmoja na klabu ya Wolves


 Mshambuliaji Seydou Doumbia ameihama Roma na kurejea CSKA Moscow kwa mkopo baada ya kushindwa kupata namba katika kikosi cha kocha Rui Garcia
 Embedded image permalink
 Mreno Bernado Silva ameongeza mkataba mpya katika klabu ya Monaco




Embedded image permalink 
Monaco imemsajili kiungo Gabriel Boschilia kutoka Sao Paulo ya Brazil
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: USAJILI:ARSENAL YAZIDI KUPUNGUZA NYOTA WAKE KIKOSINI,DOUMBIA AKIMBIA BENCHI AS ROMA Rating: 5 Reviewed By: Unknown