728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, August 11, 2015

    USAJILI:ARSENAL YAZIDI KUPUNGUZA NYOTA WAKE KIKOSINI,DOUMBIA AKIMBIA BENCHI AS ROMA

    Mlinda mlango wa Arsenal Emiliano Martinez amejiunga kwa mkopo wa msimu mmoja na klabu ya Wolves


     Mshambuliaji Seydou Doumbia ameihama Roma na kurejea CSKA Moscow kwa mkopo baada ya kushindwa kupata namba katika kikosi cha kocha Rui Garcia
     Embedded image permalink
     Mreno Bernado Silva ameongeza mkataba mpya katika klabu ya Monaco




    Embedded image permalink 
    Monaco imemsajili kiungo Gabriel Boschilia kutoka Sao Paulo ya Brazil
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: USAJILI:ARSENAL YAZIDI KUPUNGUZA NYOTA WAKE KIKOSINI,DOUMBIA AKIMBIA BENCHI AS ROMA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top