728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, August 06, 2016

    HIVI NDIVYO SIMBA ILIVYOFUNGA USAJILI WA MAPRO

    Mavugo

    Dar Es Salaam,Tanzania.

    JANA Ijumaa jioni klabu ya Simba SC ikiongozwa na Rais wake,Evans Aveva,ilifunga usajili kwa wachezaji wa kigeni (Mapro) baada ya kuwasainisha mikataba nyota watano kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika.

    Bokungu

    Nyota hao waliosainishwa mikataba ni Washambuliaji,Laudit Mavugo (Burundi),Fredrick Blagnon (Ivory Coast),Walinzi Jonvier Bokungu (DRC),Method Mwanjale (Zimbabwe) na kiungo Mussa Ndusha (DRC).

    Mwanjale

    Nyota hao wanaungana na nyota wengine wawili waliokuwepo klabuni hapo Mlinzi Juuko Murshid na Mlinda Mlango Agban na kufanya Simba ifikishe wachezaji saba wa kigeni ambayo ndiyo idadi ya mwisho kwa mujibu wa sheria za shirikisho la soka nchini TFF.

    Ndusha

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: HIVI NDIVYO SIMBA ILIVYOFUNGA USAJILI WA MAPRO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top