728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, August 10, 2015

    PIRLO,LAMPARD WAKIONA CHA MOTO MAREKANI



    Mpira ni mchezo wenye matukio mengi sana ya kufurahisha japo kuna machache ya kuhuzunisha.Picha iliyoko hapo juu imetengenezwa makusudi na mashabiki wa klabu ya New York Redbull kwa ajili ya kuwadhihaki nyota wa klabu pinzani ya New York City Frank Lampard na Andrea Pirlo kwa kuwaita kuwa ni wazee wamekuja katika nyuma ya kupumzikia/kustaafia.Picha inaonyesha Pirlo 36 na Lampard 37 wakiwa na fimbo ya kutembelea katika mikono yao.
     Experienced midfielder Lampard has arrived at City as a 37-year-old while Pirlo is only one year his junior 
    Tukio hilo lilitokea jana katika muendelezo wa mechi za ligi kuu nchini Marekani ambapo timu ya New York City ilikubali kichapo cha goli 2-0 toka kwa wapinzani wao wakubwa New York Redbull katika mchezo uliopachikwa jina la (Big Apple Derby) kwa magoli ya Bradley Wright-Philips na Felipe Martins.



    New York City had former Juventus star Andrea Pirlo in their ranks but he couldn't inspire a victory
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: PIRLO,LAMPARD WAKIONA CHA MOTO MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top