728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, August 02, 2015

    LICHA YA KUTOFUNGWA BAO LOLOTE MANULA ANYIMWA TUZO YA GOLI KIPA BORA KAGAME

    Kipa namba moja wa Gor Mahia, Boniface Oluoch aliyekuwa anawaniwa na Simba, ameibuka na kuwa kipa bora wa michuano ya Kagame.

    Oluoch ameshinda tuzo hiyo iliyokuwa ikipewa kura nyingi kwenda kwa kipa wa Azam FC, Aishi Manula kwa kuwa timu yake imebeba ubingwa bila kufungwa hata bao moja.
    Manula hajafungwa hata bao moja katika mechi zaidi ya nne alizocheza, huku Gor Mahia ikiwa imeruhusu mabao 6.

    Oluoch amesema anafurahia tuzo hiyo inayozidi kumpa changamoto zaidi ya kufanya vizuri.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LICHA YA KUTOFUNGWA BAO LOLOTE MANULA ANYIMWA TUZO YA GOLI KIPA BORA KAGAME Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top