728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, August 11, 2015

    JE,NI KLABU GANI INAYOCHUKIWA ZAIDI ENGLAND?JIBU LIKO HAPA IJUE KLABU YA KWANZA MPAKA YA MWISHO


    Klabu ya Manchester United ndiyo klabu inayochukiwa zaidi nchini England.Hilo limebainika baada ya utafiti uliofanya na The Mirror kwa kuwauliwa mashabiki mbalimbali juu ya klabu ipi hasa ambayo hawaipendi,wengi kati ya mashabiki hao wameitaja klabu ya Manchester United.
    Manchester United celebrate after Kyle Walker scored an own goal
    Nafasi ya pili imeenda kwa mabingwa watetezi wa taji la ligi kuu Chelsea,Liverpool ikishika nafasi ya tatu huku vilabu vya Manchester City na Tottenham vikishika nafasi ya nne na tano.Bournemouth ambayo ni klabu ngeni kabisa katika ligi kuu yenyewe ndiyo timu inayochukiwa kidogo zaidi.

     Orodha kamili ya vilabu hivyo hii hapa....................

    Vilabu | Wastani wa asilimia
    Man Utd | 68
    Chelsea | 65
    Liverpool | 60
    Man City | 53
    Tottenham | 46
    Arsenal | 41
    Stoke | 41
    Newcastle | 39
    West Ham | 37
    Aston Villa | 32
    Sunderland | 30
    Crystal Palace | 24
    Leicester | 21
    Everton | 21
    West Brom | 21
    Norwich | 18
    Watford | 15
    Swansea | 13
    Southampton | 11
    Bournemouth | 9
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: JE,NI KLABU GANI INAYOCHUKIWA ZAIDI ENGLAND?JIBU LIKO HAPA IJUE KLABU YA KWANZA MPAKA YA MWISHO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top