728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, July 08, 2016

    LECEISTER CITY YAMNASA AHMED MUSA

    Leceister,England.

    Leicester City imemsajili Mshambuliaji wa Nigeria,Ahmed Musa kutoka CSKA Moscow kwa ada ya rekodi ya £16m.

    Musa,23,amesaini mkataba wa miaka minne wa kuwatumikia mabingwa hao wa England na anakuwa mchezaji ghari zaidi kuwahi kusajiliwa na klabu hiyo ya King Power.

    Musa anakuwa mchezaji wa nne kujiunga na Leceister City tangu kufunguliwa kwa dirisha la usajili barani Ulaya.Wengine ni Ron-Robert Zieler,Luis Hernandez na Nampalys Mendy.

    Musa alijiunga na CSKA Moscow mwaka 2012 na mpaka anaiacha klabu hiyo amefanikiwa kuifungia mabao 54 katika michezo 168.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LECEISTER CITY YAMNASA AHMED MUSA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top