728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, July 17, 2016

    JUMA ABDUL MCHEZAJI BORA LIGI KUU TANZANIA BARA,TSHABALALA CHIPUKIZI BORA

    Dar es Salaam,Tanzania.

    JUMA Abdul ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa ligi Kuu Tanzania Bara Msimu wa 2015/16 na kujizolea kitita cha Shilingi Milioni 9 toka kwa Wadhamini wa ligi hiyo kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom katika hafla iliyofanyika Usiku huu na kurushwa Live na kituo cha Azam TV.

    Washindi wote wa tuzo ni hawa wafuatao:

    Mchezaji Bora wa Mwaka:Juma Abdul - Yanga

    Bao bora la Mwaka:Ibrahim Ajib Migomba - Simba 

    Mchezaji Bora Chipukizi:Mohammed Hussein Tshabalala - Simba

    Mlinda Mlango Bora:Aishi Manula - Azam


    Mfungaji Bora:Hamis Tambwe - Yanga

    Kocha Bora:Hans Van Pluijm - Yanga

    Mchezaji Bora wa Kigeni:Thabani Kamusoko - Yanga/Zimbabwe.

    Timu yenye Nidhamu:Mtibwa Sugar.

    Mwamuzi Bora:NGOLE MWANGOLE 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: JUMA ABDUL MCHEZAJI BORA LIGI KUU TANZANIA BARA,TSHABALALA CHIPUKIZI BORA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top