728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, July 16, 2016

    CARLOS TEVEZ AREJEA KUCHEZA SOKA BRAZIL

    Buenos Aires, Argentina.

    MSHAMBULIAJI wa Argentina na Boca Juniors,Carlos Tevez,amekataa ofa ya kurejea kuvichezea vilabu vya Westham United na Juventus na badala yake ameamua kujiunga na klabu yake ya zamani ya Corinthians ya Brazil.

    Kia Joorabchian ambaye ni wakala wa Tevez,32,amesema mteja wake alikuwa na ofa nyingi mezani toka vilabu vya Juventus,Atletico Madrid na vilabu viwili vya England lakini ameamua kujiunga na Corinthians.

    "Kila kitu kimekamilika kilichobaki ni kutia saini mkataba".

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: CARLOS TEVEZ AREJEA KUCHEZA SOKA BRAZIL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top