728x90 AdSpace

Monday, February 08, 2016

MAN UNITED YATAJA KIKOSI CHAKE CHA EUROPA LIGI,IMO SURA MOJA MPYA KABISA

Manchester,England.

Klabu ya Manchester United imetangaza kikosi cha wachezaji 24 kitakachoiwakilisha katika michuano ya kombe la Europa.Manchester United ambayo itaanza kibarua cha kuusaka ubingwa wa michuano hiyo kwa kuvaana na FC Midtjylland imemuongeza katika kikosi hicho kinda wake Regan Poole,17 iliyemsajili majira ya kiangazi toka Newport County.

Wakati Poole akipata zali hilo makinda Paddy McNair, Cameron Borthwick-Jackson na Andreas Pereira wao hawamo katika orodha hiyo na badala yake wataingia kwa kupitia kikosi cha vijana.

Kikosi kamili kiko kama ifuatavyo


Goalkeepers: De Gea, Romero, Johnstone
Defenders: Jones, Rojo, Smalling, Shaw, Varela, Darmian, Poole
Midfielders: Mata, Carrick, Blind, Young, Herrera, Valencia, Fellaini, Schneiderlin, Schweinsteiger, Lingard
Forwards: Rooney, Martial, Memphis, Keane
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: MAN UNITED YATAJA KIKOSI CHAKE CHA EUROPA LIGI,IMO SURA MOJA MPYA KABISA Rating: 5 Reviewed By: Unknown