728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, February 08, 2016

    MAN UNITED YATAJA KIKOSI CHAKE CHA EUROPA LIGI,IMO SURA MOJA MPYA KABISA

    Manchester,England.

    Klabu ya Manchester United imetangaza kikosi cha wachezaji 24 kitakachoiwakilisha katika michuano ya kombe la Europa.Manchester United ambayo itaanza kibarua cha kuusaka ubingwa wa michuano hiyo kwa kuvaana na FC Midtjylland imemuongeza katika kikosi hicho kinda wake Regan Poole,17 iliyemsajili majira ya kiangazi toka Newport County.

    Wakati Poole akipata zali hilo makinda Paddy McNair, Cameron Borthwick-Jackson na Andreas Pereira wao hawamo katika orodha hiyo na badala yake wataingia kwa kupitia kikosi cha vijana.

    Kikosi kamili kiko kama ifuatavyo


    Goalkeepers: De Gea, Romero, Johnstone
    Defenders: Jones, Rojo, Smalling, Shaw, Varela, Darmian, Poole
    Midfielders: Mata, Carrick, Blind, Young, Herrera, Valencia, Fellaini, Schneiderlin, Schweinsteiger, Lingard
    Forwards: Rooney, Martial, Memphis, Keane
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAN UNITED YATAJA KIKOSI CHAKE CHA EUROPA LIGI,IMO SURA MOJA MPYA KABISA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top