728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, February 09, 2016

    IVAN RAKITIC NDIYO KIBOKO YAO FC BARCELONA

    Barcelona,Hispania.

    IMEFICHUKA!!Kiungo Ivan Rakitic ndiye nyota aliyeichezea FC Barcelona michezo mingi zaidi katika kipindi cha misimu miwili ya hivi karibuni.

    Kwa mujibu wa Mundo Derpotivo,Rakitic tangu ajiunge na FC Barcelona mwaka 2014 akitokea Sevilla amekuwa mchezaji fiti zaidi kuliko Lionel Messi, Sergio Busquets na Neymar Jr.

    Hii hapa orodha ya wachezaji na idadi ya michezo waliyocheza tangu Julai 2014

    Ivan Rakitic 87
    Lionel Messi 85
    Sergio Busquets 81
    Neymar 80
    Javier Mascherano 77
    Dani Alves 77
    Luis Suarez 77
    Jordi Alba 74
    Gerard Pique 72
    Andreas Iniesta 68
    Claudio Bravo 58
    Sergi Roberto 52
    Marc-Andre Ter Stegen 38
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: IVAN RAKITIC NDIYO KIBOKO YAO FC BARCELONA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top