728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, February 24, 2016

    VPL:AZAM FC YASHINDWA KUKAA KILELENI,YABANWA NA PRISONS SOKOINE

    Mbeya,Tanzania.

    Azam FC imeshindwa kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya leo jioni kulazimishwa sare ya bila kufungana na wenyeji Prisons katika mchezo mkali wa kiporo ulipigwa katika dimba la Sokoine jijini Mbeya.

    Kufuata sare hiyo Azam FC imelingana na Yanga baada ya kufikisha pointi 46 lakini imezidiwa kutokana na Yanga kuwa na wastani mzuri wa magoli ya kufunga na kufungwa.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: VPL:AZAM FC YASHINDWA KUKAA KILELENI,YABANWA NA PRISONS SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top