728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, February 12, 2016

    ENYIMBA YAANZA KWA KICHAPO LIGI YA MABINGWA AFRIKA YANYUKWA 1-0 NA WAGANDA

    Kampala,Uganda.

    Klabu ya Enyimba ya Nigeria imeianza vibaya michuano ya vilabu bingwa Afrika baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 toka kwa mabingwa wa Uganda klabu ya Vipers.

    Bao pekee la mchezo huo uliopigwa jioni ya leo katika uwanja wa Nakivubo ulioko jijini Kampala limefungwa dakika ya 72 na mshambuliaji Erisa Sekisambu

    Vilabu hivyo vitarudiana wiki mbili zijazo huko Port
    Harcourt,Nigeria na mshindi ataendelea mbele.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ENYIMBA YAANZA KWA KICHAPO LIGI YA MABINGWA AFRIKA YANYUKWA 1-0 NA WAGANDA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top