728x90 AdSpace

Friday, February 12, 2016

ENYIMBA YAANZA KWA KICHAPO LIGI YA MABINGWA AFRIKA YANYUKWA 1-0 NA WAGANDA

Kampala,Uganda.

Klabu ya Enyimba ya Nigeria imeianza vibaya michuano ya vilabu bingwa Afrika baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 toka kwa mabingwa wa Uganda klabu ya Vipers.

Bao pekee la mchezo huo uliopigwa jioni ya leo katika uwanja wa Nakivubo ulioko jijini Kampala limefungwa dakika ya 72 na mshambuliaji Erisa Sekisambu

Vilabu hivyo vitarudiana wiki mbili zijazo huko Port
Harcourt,Nigeria na mshindi ataendelea mbele.




  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: ENYIMBA YAANZA KWA KICHAPO LIGI YA MABINGWA AFRIKA YANYUKWA 1-0 NA WAGANDA Rating: 5 Reviewed By: Unknown