728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, February 25, 2016

    MAN CITY YATAMBA ULAYA YAITWANGA KIEV 3-1 UGENINI

    Kiev,Ukraine.

    Manchester City imejiweka katika mazingira mazuri ya kusonga mbele hadi hatua ya robo fainali ya Ligi ya
    Mabingwa Ulaya baada ya kuichapa Dynamo Kiev kwa mabao 3-1 ikiwa ugenini jijini Kiev katika dimba la Olimpiyskiy.

    Manchester City imejipatia magoli yake kupitia kwa Sergio Aguero,David Silva na Yaya Toure huku Vitaliy Buyalsky akiifungia Dynamo Kiev goli la kufutia machozi.

    Timu hizo zitarudiana tena wiki mbili zijazo katika dimba la Etihad jijini Manchester United na mshindi atatinga hatua ya nane bora/robo fainali.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAN CITY YATAMBA ULAYA YAITWANGA KIEV 3-1 UGENINI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top