728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, February 14, 2016

    ARSENAL NOMA YAIZIMA LECEISTER CITY 2-1 NA KUFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA,WELBECK SHUJAA

    London,England.

    Arsenal imefufua matumaini ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu England baada ya leo hii kuitandika Leceister City kwa mabao 2-1 katika mchezo mkali uliopigwa katika dimba la Emirates,London.


    Arsenal ambayo ilikuwa nyuma kipindi cha kwanza baada ya Jammie Vardy kuifungia Leceister City goli dakika ya 44 kwa mkaju wa penati iliamka na kusawazisha kupitia kwa Theo Walcott dakika ya 69 kisha kuongeza la pili dakika ya 95 kupitia kwa Danny Welbeck akiunganisha kwa kichwa mpira wa faulo wa Mesut Ozil.

    Kufuatia ushindi huo Arsenal imefikisha pointi 51 pointi 2 nyuma ya Leceister City yenye pointi  53


    Vikosi
    Cech
    Schmeichel
    Bellerin
    Simpson
    Mertesacker
    Morgan
    Koscielny
    Huth
    Monreal
    Fuchs
    Coquelin
    Mahrez
    Ramsey
    Drinkwater
    Oxlade-Chamberlain
    Kante
    Ozil
    Albrighton
    Sanchez
    Okazaki
    Giroud
    Vardy
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ARSENAL NOMA YAIZIMA LECEISTER CITY 2-1 NA KUFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA,WELBECK SHUJAA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top