728x90 AdSpace

Sunday, February 14, 2016

ARSENAL NOMA YAIZIMA LECEISTER CITY 2-1 NA KUFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA,WELBECK SHUJAA

London,England.

Arsenal imefufua matumaini ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu England baada ya leo hii kuitandika Leceister City kwa mabao 2-1 katika mchezo mkali uliopigwa katika dimba la Emirates,London.


Arsenal ambayo ilikuwa nyuma kipindi cha kwanza baada ya Jammie Vardy kuifungia Leceister City goli dakika ya 44 kwa mkaju wa penati iliamka na kusawazisha kupitia kwa Theo Walcott dakika ya 69 kisha kuongeza la pili dakika ya 95 kupitia kwa Danny Welbeck akiunganisha kwa kichwa mpira wa faulo wa Mesut Ozil.

Kufuatia ushindi huo Arsenal imefikisha pointi 51 pointi 2 nyuma ya Leceister City yenye pointi  53


Vikosi
Cech
Schmeichel
Bellerin
Simpson
Mertesacker
Morgan
Koscielny
Huth
Monreal
Fuchs
Coquelin
Mahrez
Ramsey
Drinkwater
Oxlade-Chamberlain
Kante
Ozil
Albrighton
Sanchez
Okazaki
Giroud
Vardy
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: ARSENAL NOMA YAIZIMA LECEISTER CITY 2-1 NA KUFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA,WELBECK SHUJAA Rating: 5 Reviewed By: Unknown