728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, February 24, 2016

    MARTIN JOL KOCHA MPYA AL AHLY

    Cairo,Misri.

    Vinara wa ligi kuu ya Misri klabu ya Al Ahly leo wamemtangaza Mdachi Martin Jol kuwa Kocha wao mpya.

    Jol aliyewahi kuvinoa vilabu vya Tottenham, Hamburg, Ajax na Fulham amechukua nafasi hiyo toka kwa Zizo aliyekuwa akihudumu kama kocha wa muda baada ya Mreno Jose Peseiro kutimkia Porto.

    Ujio wa Jol katika klabu ya Al Ahly umekuja siku moja tu tangu Alex McLeish ajiunge na Zamalek iliyo nyuma ya Al Ahly kwa pointi tatu.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MARTIN JOL KOCHA MPYA AL AHLY Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top