Klabu ya Soka ya Simba nchini Tanzania iko katika mazungumzo yanayoendelea
vema ili iweze kupata mgao wake baada ya aliyekuwa mchezaji wake Mbwana
Ally Samatta kuuzwa huko Ubeligiji.
Simba ambayo ilimuuza Samatta klabu ya TP Mazembe mwaka 2012, inapaswa
kupata asilimia 20 ya fedha ambazo TP Mazembe imelipwa baada ya kumuuza
Samatta kwenye klabu hiyo ya Ubelgiji.
TP Mazembe ilimuuza Mtanzania huyo kwa Samatta KRC dola za Kimarekani
800,000
WWE fans demand OnlyFans model is BANNED after leaving CM Punk and Cody
Rhodes furious by breaking golden rule during meet-and-greet
-
The wrestling duo competed in a Dark Match - which takes place off-air - in
the Scottish capital before taking pictures with fans from the crowd.
0 comments:
Post a Comment