Klabu ya Soka ya Simba nchini Tanzania iko katika mazungumzo yanayoendelea
vema ili iweze kupata mgao wake baada ya aliyekuwa mchezaji wake Mbwana
Ally Samatta kuuzwa huko Ubeligiji.
Simba ambayo ilimuuza Samatta klabu ya TP Mazembe mwaka 2012, inapaswa
kupata asilimia 20 ya fedha ambazo TP Mazembe imelipwa baada ya kumuuza
Samatta kwenye klabu hiyo ya Ubelgiji.
TP Mazembe ilimuuza Mtanzania huyo kwa Samatta KRC dola za Kimarekani
800,000
USMNT legend Tony Meola suffers heart attack day before 56th birthday as
Alexi Lalas leads tributes
-
A United States men's national team soccer legend has suffered a heart
attack the day before his 56th birthday, as tributes from around the globe
poured in...
0 comments:
Post a Comment