Klabu ya Soka ya Simba nchini Tanzania iko katika mazungumzo yanayoendelea
vema ili iweze kupata mgao wake baada ya aliyekuwa mchezaji wake Mbwana
Ally Samatta kuuzwa huko Ubeligiji.
Simba ambayo ilimuuza Samatta klabu ya TP Mazembe mwaka 2012, inapaswa
kupata asilimia 20 ya fedha ambazo TP Mazembe imelipwa baada ya kumuuza
Samatta kwenye klabu hiyo ya Ubelgiji.
TP Mazembe ilimuuza Mtanzania huyo kwa Samatta KRC dola za Kimarekani
800,000
Watch the moment Luka Doncic press conference is interrupted by bizarre SEX
noises: 'I hope that's not live!'
-
After the Mavs secured a 119-110 win over the Oklahoma City Thunder to even
their second-round series, Doncic's media duties took a bizarre turn when
eroti...
0 comments:
Post a Comment