728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, February 02, 2016

    CECH MCHEZAJI BORA WA MWEZI ARSENAL

    London,England.

    Mlinda mlango Peter Cech ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa Arsenal kwa mwezi Januari baada ya kuwabwaga kwa kura nyingi washambuliaji Olivier Giroud na Joel Campbell.

    Cech,33 aliyetua Arsenal mwezi Julai mwaka jana akitokea Chelsea ametwaa tuzo hiyo baada ya kupata kura 47.4 huku nafasi ya pili ikichukuliwa na Giroud aliyepata kura 18.9 na nafasi ya tatu ikienda kwa Campbell aliyepata kura 8.9.

    Washindi wa miezi iliyopita

    August: Francis Coquelin
    September: Theo Walcott
    October: Mesut Ozil
    November: Mesut Ozil
    December: Mesut Ozil
    January: Petr Cech


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: CECH MCHEZAJI BORA WA MWEZI ARSENAL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top