728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, February 01, 2016

    BAYERN MUNICH YAMPATA MBADALA WA JEROME BOATENG

    Munich,Ujerumani.

    Klabu ya Bayern Munich imemsajili kwa mkopo wa miezi sita mlinzi wa Spartak
    Moscow Mjerumani Serdar Tasci baada ya walinzi wake wa kutumainiwa Javi
    Martinez na Jerome Boateng kukumbwa na majeruhi.

    Tasci,28 nyota wa zamani wa VFB Stuttgart anarejea tena Ujerumani baada ya kucheza Urusi kwa misimu miwili na nusu na kazi kubwa atakayopewa ni kuhakikisha kuwa Bayern Munich inafanya vizuri katika michezo ya Bundesliga na Ligi ya mabingwa Ulaya.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BAYERN MUNICH YAMPATA MBADALA WA JEROME BOATENG Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top