728x90 AdSpace

Thursday, October 01, 2015

SAFARI BADO NDEFU KWA RONALDO:WAJUE WAKALI 24 WALIOFUNGA MAGOLI ZAIDI YA 500 KATIKA MAISHA YAO YA SOKA

Paul Manjale.

Baada ya Cristiano Ronaldo kufunga magoli mawili dhidi ya Malmo FF usiku wa jana jumatano katika mchezo wa makundi wa ligi ya mabingwa Ulaya na kufanikiwa kufikisha magoli 501 katika maisha yake ya soka.

Soka Extra kwa kushirikiana gazeti la The Mirror la Uingereza tumekuandalia orodha ya wachezaji 24 waliofunga magoli zaidi ya 500 ambao Ronaldo anahitaji kuvuja jasho jingi ili kuweza kuwakaribia/kuwafikia na kuwapita.

24. Ferenc Bene (Hungary)-508 

23. Jimmy Greaves
(England)-511 

22. Roberto Dinamite
(Brazil)-512

21. Gunnar Nordahl
(Sweden)-513

20. Johann Krankl
(Austria)-514

19. Alfredo di Stefano
(Argentina, Spain)-514

18. Tulio Maravilha
(Brazil)-515

17. Zico (Brazil)-522

16. Gyula Zsengeller
(Hungary)-522

15. Jozsef Takacs II
(Hungary)-523

14. Fritz Walter (Germany)-539

13. Hugo Sanchez
(Mexico)-541

12. Fernando Peyroteo
(Ureno)-544


11. Franz Binder (Austria,
Germany)-546

10. James McGrory
(Scotland)-550

9. Eusebio (Portugal)-552

8. Ernst Willimowski
(Poland, Germany)-554

7. Uwe Seeler (Germany)-575

6. Ferenc Deak (Hungary)-576

5. Gerd Muller (Germany)-735

4. Ferenc Puskas
(Hungary)-746

3. Pele (Brazil)-767

2. Romario (Brazil)-772

1. Josef Bican (Austria,
Czechoslovakia)-805




  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: SAFARI BADO NDEFU KWA RONALDO:WAJUE WAKALI 24 WALIOFUNGA MAGOLI ZAIDI YA 500 KATIKA MAISHA YAO YA SOKA Rating: 5 Reviewed By: Unknown