728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, October 01, 2015

    SAFARI BADO NDEFU KWA RONALDO:WAJUE WAKALI 24 WALIOFUNGA MAGOLI ZAIDI YA 500 KATIKA MAISHA YAO YA SOKA

    Paul Manjale.

    Baada ya Cristiano Ronaldo kufunga magoli mawili dhidi ya Malmo FF usiku wa jana jumatano katika mchezo wa makundi wa ligi ya mabingwa Ulaya na kufanikiwa kufikisha magoli 501 katika maisha yake ya soka.

    Soka Extra kwa kushirikiana gazeti la The Mirror la Uingereza tumekuandalia orodha ya wachezaji 24 waliofunga magoli zaidi ya 500 ambao Ronaldo anahitaji kuvuja jasho jingi ili kuweza kuwakaribia/kuwafikia na kuwapita.

    24. Ferenc Bene (Hungary)-508 

    23. Jimmy Greaves
    (England)-511 

    22. Roberto Dinamite
    (Brazil)-512

    21. Gunnar Nordahl
    (Sweden)-513

    20. Johann Krankl
    (Austria)-514

    19. Alfredo di Stefano
    (Argentina, Spain)-514

    18. Tulio Maravilha
    (Brazil)-515

    17. Zico (Brazil)-522

    16. Gyula Zsengeller
    (Hungary)-522

    15. Jozsef Takacs II
    (Hungary)-523

    14. Fritz Walter (Germany)-539

    13. Hugo Sanchez
    (Mexico)-541

    12. Fernando Peyroteo
    (Ureno)-544


    11. Franz Binder (Austria,
    Germany)-546

    10. James McGrory
    (Scotland)-550

    9. Eusebio (Portugal)-552

    8. Ernst Willimowski
    (Poland, Germany)-554

    7. Uwe Seeler (Germany)-575

    6. Ferenc Deak (Hungary)-576

    5. Gerd Muller (Germany)-735

    4. Ferenc Puskas
    (Hungary)-746

    3. Pele (Brazil)-767

    2. Romario (Brazil)-772

    1. Josef Bican (Austria,
    Czechoslovakia)-805




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: SAFARI BADO NDEFU KWA RONALDO:WAJUE WAKALI 24 WALIOFUNGA MAGOLI ZAIDI YA 500 KATIKA MAISHA YAO YA SOKA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top