728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, October 02, 2015

    MAFUNDI:HAWA NDIYO NYOTA 11 WALIOFANYA VIZURI LIGI YA MABINGWA ULAYA WIKI HII

    Baada ya michezo ya jumanne na jumatano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya hiki hapa kikosi cha wachezaji 11 waliofanya vizuri katika michuano hiyo.

    Golikipa:Kevin Trapp (Paris St-Germain)

    Walinzi;Serge Aurier,Chris Smalling (Manchester United),David Alaba (Bayern Munich) na Filip Mladenovic (BATE Borisov)

    Viungo;Thiago Alcantara (Bayern Munich),Toni Kroos (Real Madrid) na Juan Mata (Manchester United)

    Washambuliaji:Cristiano Ronaldo (Real Madrid),Robert Lewandowski (Bayern Munich) na Sergio Aguero (Manchester City)

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAFUNDI:HAWA NDIYO NYOTA 11 WALIOFANYA VIZURI LIGI YA MABINGWA ULAYA WIKI HII Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top