728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, September 04, 2015

    TUWAACHE:MARTIAL AIKWANGUA MAN UNITED PAUNDI 10,000 KWA DAKIKA MOJA


    Usajili wa mshambuliaji Anton Martial katika klabu ya Manchester United umeendelea kuzua maneno kila siku.Hakuna anayehoji kiwango cha nyota huyo Mfaransa lakini dau alilouzwa ndilo limekuwa nongwa kiasi cha wadadisi wa masuala ya soka kuja na mchanganuo ufuatao ili kuonyesha kuwa Manchester United ilikurupuka baada ya kutoa paundi milioni 36 kwa ajili ya kumsajili kinda huyo toka Monaco.

    Martial amechezea jumla ya michezo 74 katika maisha yake ya soka.Michezo 52 ya ligi,11 ligi ya mabingwa na 11 ya michuano mingine.



     5252MONACO - AUGUST 25: Anthony Martial of Monaco in action during the UEFA Champions League play off round 2nd leg between AS Monaco and Valencia CF at Stade Louis II on August 25, 2015 in Monaco. (Photo by Jean Catuffe/Getty Images)
    Martial ameanza na kumaliza michezo saba peke yake.Jumla Martial ametumia dakika 3864 pekee kuwa uwanjani.Kimahesabu Manchester United wametoa £36,000,000 kumnunua mchezaji ambaye amecheza dakika 3864 pekee thamani hiyo ni sawa na £9,316 kwa kila dakika moja ambayo Martial amekuwa kiwanjani.
    Ligue 1
    11
    Champions League
    11
    Other comps
    Ligue 1
    11
    Champions League
    11
    Other comps
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: TUWAACHE:MARTIAL AIKWANGUA MAN UNITED PAUNDI 10,000 KWA DAKIKA MOJA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top