Osvaldo:Dani Osvaldo amejuiunga na klabu ya Porto baada ya kutemwa na Southampton mapema mwezi ujao.Osvaldo,29 aliichezea Southampton michezo 13 na kuifungia magoli manne kabla ya kutolewa kwa mkopo katika vilabu vya Juventus, Internazionale na kisha Boca Juniors
Emile Heske,37 amesaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Bolton kwa mwaka mmoja zaidi
Yann M’Vila atajiunga leo na klabu ya Sunderland kwa mkopo wa msimu mmoja akitokea klabu ya Rubin Kazan ya Urusi.
Mlinzi wa Leceister City Paul Konchesky amejiunga kwa mkopo na klabu ya QPR.Konchesky,34 aliwahi kuichezea klabu ya Westham.
Klabu ya Bournemouth iliyopanda ligi kuu ya EPL msimu huu imefanikiwa kumsajili mshambuliaji Lee Tomlin toka klabu ya Middlesbrough kwa ada ya £3m
0 comments:
Post a Comment