728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, February 07, 2016

    ARSENAL MAMBO SAFI TENA,YAITUNGUA BOURNEMOUTH MBILI MTUNGI

    LONDON,ENGLAND.

    Arsenal imefufua matumaini ya kuendelea kuwemo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa ligi kuu England baada ya jioni ya leo kuitandika Bournemouth kwa mabao 2-0 huko Vitality.Mabao yaliyoipa Arsenal ushindi yamepatikana dakika za 23 na 24 kupitia kwa Mesut Ozil na Alex Oxlade Chamberlain ambaye kabla ya leo alikuwa hajafunga bao katika mchezo wa ligi kuu kwa kipindi cha miezi 16.
    Ozil Bournemouth
    Kufuatia ushindi huo Arsenal imepanda mpaka nafasi ya 3 baaada ya kufikisha pointi 48 ikiwa nyuma ya Tottenham iliyo katika nafasi ya pili kwa tofauti ya magoli ya kufunga.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ARSENAL MAMBO SAFI TENA,YAITUNGUA BOURNEMOUTH MBILI MTUNGI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top