Bondia asiyepigika, Floyd Mayweather amemtosa Mwingereza, Amir Khan na sasa atapigana na bingwa mwingine.
Hilo
litakuwa ni pambano la 49 la Mayweather ambaye hajapigwa hata mara moja na
linatarajia kufanyika Septemba 12 jijini Las Vegas, Marekani.
Pambano
lake la mwisho lilikuwa ni dhidi ya Manny Paqcuiao na ushindi wake ulizua
mjadala mkubwa mara tu baada ya pambano kwenye ukumbi wa MGM Grand Garden Arena.
0 comments:
Post a Comment