728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, August 02, 2015

    BAADA YA KUACHANA NA MAVUGO SIMBA SC YANASA STRAIKA HATARI TOKA CONGO

    Baada ya kusitisha mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Vital'O Laudit Mavugo klabu ya Simba SC imemsajili mshambuliaji Dany Lyanga toka klabu ya DC Motema Pembe ya Congo.

    Lyanga ambaye aliwahi kuichezea klabu ya Coastal Union ya Tanga amesaini mkataba wa miaka miwili Simba SC na kufanya mpango wa kumsajili Laudit Mavugo kuwa umekufa rasmi baada ya klabu yake ya Vital'O kupandisha bei kutoka milioni 110 zilizokubaliwa awali mpaka milioni 200 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BAADA YA KUACHANA NA MAVUGO SIMBA SC YANASA STRAIKA HATARI TOKA CONGO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top