728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, September 07, 2016

    KOMBE LA DUNIA:LUKAKU,CARRASCO WAIPA UBELGIJI USHINDI MNONO UGENINI,BATSHUAYI AKOSA PENATI(+VIDEO)


    UBELGIJI imekianza vyema kinyang'anyiro cha kusaka tiketi ya kufuzu michuano ya kombe la dunia baada ya usiku huu ikiwa ugenini kuichapa Cyprus kwa mabao 3-0 katika mchezo safi wa kundi H.

    Ubelgiji imejipatia mabao yake kupitia kwa Romelu Lukaku aliyefunga mara mbili pamoja na Yannick Carrasco aliyefunga mara moja huku Michy Batshuayi akikosa mkwaju wa penati.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KOMBE LA DUNIA:LUKAKU,CARRASCO WAIPA UBELGIJI USHINDI MNONO UGENINI,BATSHUAYI AKOSA PENATI(+VIDEO) Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top