728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, July 16, 2016

    AZAM FC YABORESHA BENCHI LAKE LA UTABIBU,YALETA DAKTARI TOKA HISPANIA

    Dar es Salaam,Tanzania.

    Daktari mpya wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Sergio Soto Perez (katikati), kutoka nchini Hispania ametua nchini leo tayari kabisa kujiunga na timu hiyo.

    Mtaalamu huyo wa viungo vya wachezaji alipokelewa na Meneja wa Azam FC, Luckson Kakolaki, aliyeambatana na Kocha Mkuu,Zeben Hernandez.

    Perez ataungana na jopo la madaktari wengine wa Azam FC, ambao ni Juma
    Mwimbe na Twalib Mbaraka, wanaoendelea kutoa matibabu kwa wachezaji wa timu hiyo.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: AZAM FC YABORESHA BENCHI LAKE LA UTABIBU,YALETA DAKTARI TOKA HISPANIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top