728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, February 07, 2016

    HE IS BACK:WELBECK AREJEA DIMBANI BAADA YA KUWA NJE KWA MIEZI KUMI

    Danny Welbeck juzi alirejea dimbani kukichezea kikosi cha vijana cha Arsenal kilipomenyana na kikosi cha vijana cha Brighton baada ya kuwa nje kwa kipindi kirefu akisumbuliwa na majeruhi.
     Katika mchezo huo uliopigwa katika uwanja wa mazoezi wa Arsenal wa London Colney Welbeck alicheza kwa dakika 60 kabla ya kutolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Josh Dasilva. Danny Welbeck of Arsenal during the match between Arsenal U21 and Brighton & Hove Albion U21 at London Colney

    Welbeck hajaichezea Arsenal tangu mwezi Aprili mwaka jana baada ya kupata jeraha la goti katika mchezo uliomalizika kwa Arsenal kwenda sare tasa dhidi ya Chelsea.
    Danny Welbeck of Arsenal takes on Dessie Hutchinson of Brighton during the match between Arsenal U21 and Brighton & Hove Albion U21 at London ColneyDanny Welbeck of Arsenal takes on Dessie Hutchinson of Birghton during the match between Arsenal U21 and Brighton & Hove Albion U21 at London Colney
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HE IS BACK:WELBECK AREJEA DIMBANI BAADA YA KUWA NJE KWA MIEZI KUMI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top