728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, August 15, 2015

    DORTMUND YAANZA VYEMA BUNDESLIGA YAITANDIKA GLADBACH 4-0,MAPACHA AUBAMEYANG NA REUS WATUPIA

    Klabu ya Borussia Dortmund ikiwa chini cha kocha wake mpya Thomas Tuchel imeianza vyema ligi ya Bundesliga baada ya muda mfupi uliopita kuibuka na ushindi mkubwa wa goli 4-0 dhidi ya klabu ya Borussia Monchengladbach katika mchezo mkali uliopigwa katika dimba la Signal Iduna-Park.

    Dortmund ambayo leo ilikuwa katika kiwango kizuri imepata magoli yake kupitia kwa Marco Reus (15'),Pierre Emerick Aubameyang (21') na Henrik Mkhitaryan (33', 50')

    Matokeo mengine ya Bundesliga...

    Augsburg 0-1Hertha Berlin

    Bayer Leverkusen 2-1 Hoffenheim

    Darmstadt 2-2 
    Hannover 96

    Mainz 0-1 Ingolstadt

    Werder Bremen 0-3
    Schalke 04


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: DORTMUND YAANZA VYEMA BUNDESLIGA YAITANDIKA GLADBACH 4-0,MAPACHA AUBAMEYANG NA REUS WATUPIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top