728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, September 03, 2016

    VPL:MBEYA CITY YAIGONGA MBAO FC 4-1,AFRICAN LYON YAIBANA MBAVU JKT RUVU


    Mwanza,Tanzania.

    LIGI KUU ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea tena leo kwa michezo minne ya mzunguko wa tatu kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini.

    Mbeya City ikiwa ugenini CCM Kirumba imechomoza na ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya Mbao FC.Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Raphael Daudi,Omary Ramadhani na Ramadhani Chombo Redondo.Bao la Mbao FC limefungwa na Vincent.

    JKT Ruvu ikiwa katika uwanja wake wa nyumbani wa Mabatini imetoka sare ya bila kufungana na African Lyon.

    Kagera Sugar ikiwa nyumbani imeichapa Mwadui FC bao1-0.Majimaji imefungwa mabao 2-1 na Mtibwa Sugar.Mabao ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Salim Bonde na Rashid Mandawa.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: VPL:MBEYA CITY YAIGONGA MBAO FC 4-1,AFRICAN LYON YAIBANA MBAVU JKT RUVU Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top