728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, September 03, 2016

    KIRAFIKI:SIMBA SC YAICHAPA 2-0 POLISI DODOMA


    Dodoma,Tanzania.

    SIMBA SC imechomoza na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Polisi Dodoma katika mchezo wa kirafiki uliochezwa jioni ya leo katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.

    Katika mchezo huo uliokuwa maalumu kwa ajili ya kuiaga serikali inayohamia Dodoma,Simba imejipatia mabao yake kupitia kwa Abdi Banda na Said Ndemla.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KIRAFIKI:SIMBA SC YAICHAPA 2-0 POLISI DODOMA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top