728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, August 05, 2015

    ALICHOKISEMA DI MARIA BAADA YA KUTUA PSG HIKI HAPA



    Baada ya kufuzu vipimo vya afya alivyofanyiwa jijini Doha (Qatar) winga Angel Di Maria ameahidi kuifanyia makubwa klabu yake mpya ya Paris Saint Germain.

    Akiongea muda mfupi na kituo cha bein Sport baada ya kupokea majibu ya vipimo vyake Di Maria amesema

     "Ninachojua ni kuwa PSG ni klabu kubwa iliyotwaa vikombe vyote vikubwa Ufaransa.Ina mkusanyiko wa wachezaji nyota.

    Nataka kuisaidia klabu hii ili iweze kufanya vizuri katika michuano ya klabu bingwa Ulaya.Kwa miaka mitatu mfululizo PSG imeshindwa kuvuka hatua ya robo fainali ya michuano hiyo,nataka kuisaidia na hatimaye kuivusha ikiwezekana itwae ubingwa wa Ulaya".
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ALICHOKISEMA DI MARIA BAADA YA KUTUA PSG HIKI HAPA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top