728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, June 05, 2017

    Simba Sc yashusha beki Mnyaruwanda


    Faridi Miraji , Dar es salaam.                      


    MUNEZERO FISTON  Beki wa wa kati kutoka klabu ya Rayon Sports ya Rwanda ametua nchini kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha Simba SC. Kwa Habari kutoka ndani ya kamati ya usajili ya Simba Beki  Munezero Fiston atacheza michuano ya Sportpesa baada ya michuano anaweza  akaingia kandarasi. 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Simba Sc yashusha beki Mnyaruwanda Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top