728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, June 29, 2017

    BADO YUPO:TAMBWE ASAINI MIAKA MIWILI YANGA SC


    Dar Es Salaam,Tanzania.

    YANGA imeamua kuwabakisha mastaa wake walioipa ubingwa wa ligi kuu bara msimu uliopita baada ya jioni hii kumsainisha kandarasi mpya ya miaka miwili mshambuliaji wake tegemeo raia wa Burundi,Amisi Tambwe.

    Tambwe aliyekuwa mapumzikoni nyumbani kwao Burundi amesaini kandarasi hiyo mpya baada ya ile ya awali kuwa imekwisha.

    Tambwe anaungana na Mzimbabwe,Donald Ngoma ambaye jana pili alisaini kandarasi mpya ya miaka miwili ya kuendelea kuwatumikia mabingwa hao mara tatu mfululizo za ligi kuu bara.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BADO YUPO:TAMBWE ASAINI MIAKA MIWILI YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top