728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, June 30, 2017

    USAJILI:SINGIDA UNITED YAONGEZA SURA NYINGINE MPYA KIKOSINI


    Dar Es Salaam,Tanzania.

    KATIKA kuhakikisha kuwa inakuwa na kikosi kipana na kitakachotisha kwenye msimu ujao wa ligi kuu bara,Singida United leo imemsajili beki wa kati wa Mshikamano FC inayoshiriki ligi daraja la kwanza Taifa,Rolland Msonjo 

    Msonjo mwenye umri wa miaka 19 amejiunga na Singida United kwa mkataba wa miaka miwili kwa dau ambalo halijawekwa wazi.

    Singida United imemsajili Msonjo baada ya kuvutiwa na uwezo wake tangu alipotua kikosi hapo kwa mara ya kwanza mwanzoni mwa mwezi huu.

    Msonjo alikuwa sehemu ya kikosi cha Singida United ambacho kirishiriki michuno ya SportPesa na kuondolewa kwa matuta na AFC Leopards ya Kenya.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: USAJILI:SINGIDA UNITED YAONGEZA SURA NYINGINE MPYA KIKOSINI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top