728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, September 12, 2016

    MNYAMA DIEGO COSTA AWAFUNIKA AGUERO,SUAREZ REKODI YA MABAO ENGLAND


    London,England.

    MSHAMBULIAJI wa Hispania,Diego Costa,ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa sita kuwahi kufikisha mabao 35 kwa haraka zaidi katika historia ya ligi kuu England baada ya jana Jumapili kufunga mabao mawili katika mchezo ulioisha kwa klabu yake ya Chelsea kulazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Swansea City huko Liberty Stadium.

    Costa amefikia idadi hiyo ya mabao baada ya kucheza michezo 58 na kuwaacha kwa mbali Sergio Aguero wa Manchester City aliyefikisha idadi hiyo katika michezo 64 pamoja na Luis Suarez ambaye ilimchukua michezo 71 kufikia idadi hiyo wakati akiwa na Liverpool.

    Orodha kamili ya wachezaji waliotumia muda mfupi zaidi kufikisha mabao 35 hii hapa



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MNYAMA DIEGO COSTA AWAFUNIKA AGUERO,SUAREZ REKODI YA MABAO ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top