728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, June 10, 2017

    Hawa hapa wanaume 11 wa Stars watakaoivaa Lesotho leo kusaka tiketi ya AFCON



    Dar Es Salaam,Tanzania.

    KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars leo usiku mishale ya saa 2:00 itashuka kwenye Uwanja wa Chamazi,Dar Es Salaam kuvaana na timu ya Taifa ya Lesotho kwenye mchezo wa kwanza wa kuwania tiketi ya kushiriki michuano ya Afrika (AFCON) itakayofanyika mwaka 2019 nchini Cameroon.


    Kikosi cha Taifa Stars leo hii kitawakilishwa na 

    1.Aishi Manula 
    2.Shomari kapombe
    3.Gadiel Michael
    4.Abdi Banda
    5.Salim Mbonde
    6 Himidi Mao
    7.Msuva Saimon
    8.Muzamiru Yassini
    9.Thomasi Ulimwengu
    10.Mbwana Samatta
    11.Shiza Kichuya

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Hawa hapa wanaume 11 wa Stars watakaoivaa Lesotho leo kusaka tiketi ya AFCON Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top