728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, June 16, 2017

    Mwenyeki wa zamani wa Yanga achukua fomu kumng'oa Malinzi TFF


    Dar Es Salaam,Tanzania.

    JAMAL Malinzi amepata mpinzani wa kwanza kwenye mbio za kutetea kiti chake cha Urais wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF) baada ya leo Mwenyekiti wa zamani wa Yanga,Imani Madega (Pichani) kuchukua fomu ya kugombea wadhifa huo mkubwa kabisa duru za mpira wa miguu nchini.

    Madega alifika kwenye ofisi za TFF zilizoko Karume jijini Dar Es Salaam asubuhi ya leo na kuchukua fomu tayari kuanza mawindo ya kumng'oa Malinzi madarakani.

    Uchaguzi mkuu wa TFF umepangwa kufanyika Agosti 12 mwaka huu huko mkoani Dodoma.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Mwenyeki wa zamani wa Yanga achukua fomu kumng'oa Malinzi TFF Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top